sw_tn/mrk/06/56.md

397 B

Popote alipoingia

"Popote Yesu alipoingia"

waliwaweka

Hapa "wa" urejea kwa watu. Haaina maana ya kurejea kwa wanafunzi wa Yesu

mgonjwa

Hii urejea kwa watu. "watu wagonjwa"

wakamsihi

Maana zinazowekana ni 1)"mgonjwa alimsihi" au 2) "watu walimsihi"

waache waguse

Neno "wa" urejea kwa mgonjwa.

pindo la vazi lake

"pindo la vazi lake" au " pindo la vazi lake"

wengi

"wote"