# Popote alipoingia "Popote Yesu alipoingia" # waliwaweka Hapa "wa" urejea kwa watu. Haaina maana ya kurejea kwa wanafunzi wa Yesu # mgonjwa Hii urejea kwa watu. "watu wagonjwa" # wakamsihi Maana zinazowekana ni 1)"mgonjwa alimsihi" au 2) "watu walimsihi" # waache waguse Neno "wa" urejea kwa mgonjwa. # pindo la vazi lake "pindo la vazi lake" au " pindo la vazi lake" # wengi "wote"