sw_tn/mrk/06/53.md

456 B

Sentensi unganishi

Wakati Yesu na wanafunzi wake wanafika Genesareti wakiwa katika mtumbwi wao, watu wanamuona na kumletea watu awaponye. Hii inatokea kokote waendako.

Genesareti

Hili ni jina la mkoa kaskazi mwa magharibi mwa Bahari ya Galilaya.

mara wakamtambua

"watu pale walimtambua Yesu"

walikimbia...waliposikia

Neno "wa" urejea kwa watu waliomtambua Yesu, wala si kwa wanafunzi.

wagonjwa

Neno hili urejea kwa watu. "watu wagonjwa"