sw_tn/mrk/06/45.md

207 B

sehemu nyingine

Hii inarejea kwa Bahari ya Galilaya.

Bethsaida

Huu ni mji uliopo pwani ya kaskazini katika bahari ya Galilaya.

Walipokuwa wamekwisha kuondoka

"Walipokuwa watu wamekwisha kuondoka"