forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
495 B
Markdown
20 lines
495 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anatuma wanafunzi wake nje wawili wawili kuhubiri na kuponya.
|
|
|
|
# aliwaita kumi na wawili
|
|
|
|
Hapa neno "aliwaita" linamaanisha kuwa aliwaita kumi na wawili waje kwake.
|
|
|
|
# Wawili wawili
|
|
|
|
" 2 kwa 2" au "jozi" msivae kanzu mbili msichukue shuka nyingine."
|
|
|
|
# hapana mkate
|
|
|
|
Hapa "mkate" ni neno yenye maana sawa na chakula kwa ujumla.
|
|
|
|
# hapana pesa katika mkoba
|
|
|
|
Katika utamaduni, wanaume walibeba pesa zilizowekwa katika mkanda. "hapana pesa iliwekwa kwenye mfuko wa pesa"
|