sw_tn/mrk/06/07.md

495 B

Sentensi unganishi

Yesu anatuma wanafunzi wake nje wawili wawili kuhubiri na kuponya.

aliwaita kumi na wawili

Hapa neno "aliwaita" linamaanisha kuwa aliwaita kumi na wawili waje kwake.

Wawili wawili

" 2 kwa 2" au "jozi" msivae kanzu mbili msichukue shuka nyingine."

hapana mkate

Hapa "mkate" ni neno yenye maana sawa na chakula kwa ujumla.

hapana pesa katika mkoba

Katika utamaduni, wanaume walibeba pesa zilizowekwa katika mkanda. "hapana pesa iliwekwa kwenye mfuko wa pesa"