sw_tn/mrk/04/30.md

476 B

tuufananishe ufalme wa Mungu na kitu gani, au tutumie mfano gani kuuelezea?

Yesu aliuliza swali hili kusababisha wasikilizaji wake kufikiri kuhusu ufalme wa Mungu. "Pamoja na mfano huu naweza kueleza ufalme wa Mungu ukoje"

pindi inapopandwa

Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "wakati yoyote anapanda mbegu" au "wakati yoyote anapanda mmea"

inafanya matawi makubwa

Mti wa haradali unaelezwa kama unasababisha matawi kukua makubwa. "pamoja na matawi makubwa"