forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
476 B
Markdown
12 lines
476 B
Markdown
|
# tuufananishe ufalme wa Mungu na kitu gani, au tutumie mfano gani kuuelezea?
|
||
|
|
||
|
Yesu aliuliza swali hili kusababisha wasikilizaji wake kufikiri kuhusu ufalme wa Mungu. "Pamoja na mfano huu naweza kueleza ufalme wa Mungu ukoje"
|
||
|
|
||
|
# pindi inapopandwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "wakati yoyote anapanda mbegu" au "wakati yoyote anapanda mmea"
|
||
|
|
||
|
# inafanya matawi makubwa
|
||
|
|
||
|
Mti wa haradali unaelezwa kama unasababisha matawi kukua makubwa. "pamoja na matawi makubwa"
|