sw_tn/mrk/04/26.md

847 B

Sentensi unganishi

Yesu basi anawambia watu mfano kueleza ufalme wa Mungu, ambapo kwa badae anawaeleza wanafunzi wake.

kama mtu aliyepanda mbegu

Yesu hufanananisha ufalme wa Mungu kwa mkulima anayepanda mbegu. "kama mkulima anayepanda mbegu"

Alipolala usiku na kuamka asubuhi

"Anamka asubuhi na kulala usiku"

jani

shina au kuchipuka

sikio

kichwa katika shina au sehemu ya mmea inashika tunda

mara hupeleka mundu

Hapa "mundu" ni maneno mbadala yanayosimama kwa mkulima au watu wanaotumwa na mkulima kwenda kuvuna nafaka. "mara huenda na mundu kuvuna nafaka" au "mara hutuma watu na mundu kuvuna nafaka"

mundu

ni upanga uliojikunja au ndoano iliyo na makali inatumiwa kuvunia nafaka

sababu mavuno ni tayari

Hapa maneno "ni tayari" ni lugha kwa ajili ya nafaka iliyo tayari kuvunwa. "sababu nafaka iko tayari kuvunwa"