forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
847 B
Markdown
32 lines
847 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu basi anawambia watu mfano kueleza ufalme wa Mungu, ambapo kwa badae anawaeleza wanafunzi wake.
|
||
|
|
||
|
# kama mtu aliyepanda mbegu
|
||
|
|
||
|
Yesu hufanananisha ufalme wa Mungu kwa mkulima anayepanda mbegu. "kama mkulima anayepanda mbegu"
|
||
|
|
||
|
# Alipolala usiku na kuamka asubuhi
|
||
|
|
||
|
"Anamka asubuhi na kulala usiku"
|
||
|
|
||
|
# jani
|
||
|
|
||
|
shina au kuchipuka
|
||
|
|
||
|
# sikio
|
||
|
|
||
|
kichwa katika shina au sehemu ya mmea inashika tunda
|
||
|
|
||
|
# mara hupeleka mundu
|
||
|
|
||
|
Hapa "mundu" ni maneno mbadala yanayosimama kwa mkulima au watu wanaotumwa na mkulima kwenda kuvuna nafaka. "mara huenda na mundu kuvuna nafaka" au "mara hutuma watu na mundu kuvuna nafaka"
|
||
|
|
||
|
# mundu
|
||
|
|
||
|
ni upanga uliojikunja au ndoano iliyo na makali inatumiwa kuvunia nafaka
|
||
|
|
||
|
# sababu mavuno ni tayari
|
||
|
|
||
|
Hapa maneno "ni tayari" ni lugha kwa ajili ya nafaka iliyo tayari kuvunwa. "sababu nafaka iko tayari kuvunwa"
|