sw_tn/mrk/04/21.md

791 B

Yesu akawambia

"Yesu alisema na umati"

Je huwa unaleta taa ndani ya nyumba na kuiweka chini ya kikapu, au chini ya kitanda?

Swali hili linaweza kuandikwa kama sentensi. "Unaleta taa ndani ya nyumba na kuiweka chini ya kikapu, au chini ya kitanda!"

Kwa kuwa hakuna chochote kilichojificha ambacho hakitajulikana...njoo nje kweupe

Hii inaweza kusemwa kwa namna chanya. "Kwa kila kitu kilichojificha kitafanywa kujulikana, na chochote kilicho sirini kitakuwa peupe"

hakuna kilichojificha... hakuna siri

"hakuna kilichojificha... hakuna siri" Vifungu vyote vina maana ile ile. Yesu anasisitiza kwamba kila kilichojificha kitawekwa wazi.

Akiwapo mwenye masikio ya kusikia, na asikie!"

Hapa neno "kusikiliza" humaaanisha kuwa makini. "unapaswa kuwa makini kwa kila ninachosema"