forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
352 B
Markdown
20 lines
352 B
Markdown
# Kweli nawambieni
|
|
|
|
Hii huonyesha kwamba sentensi inayofuata ni ya kweli na muhimu
|
|
|
|
# wana wa watu
|
|
|
|
"wale waiokwisha zaliwa." Sura hii imetumiwa kusisitiza ubinadamu wa watu. "watu"
|
|
|
|
# tamka
|
|
|
|
"zungumza"
|
|
|
|
# walikuwa wakisema
|
|
|
|
"watu walikuwa wakisema"
|
|
|
|
# ana roho chafu
|
|
|
|
Hii ni lugha inayo maanisha kumilikiwa na roho chafu. "anamilikiwa na roho chafu"
|