sw_tn/mrk/03/28.md

352 B

Kweli nawambieni

Hii huonyesha kwamba sentensi inayofuata ni ya kweli na muhimu

wana wa watu

"wale waiokwisha zaliwa." Sura hii imetumiwa kusisitiza ubinadamu wa watu. "watu"

tamka

"zungumza"

walikuwa wakisema

"watu walikuwa wakisema"

ana roho chafu

Hii ni lugha inayo maanisha kumilikiwa na roho chafu. "anamilikiwa na roho chafu"