sw_tn/mrk/03/09.md

627 B

Na aliwaambia wanafunzi wake kuwa na mtubwi mdogo... ili kwamba wasije wakamsonga.

Kama ilivyokuwa umati mkubwa ulikuwa unamsonga Yesu, alikuwa katika hatari ya kusongwa. Katika mstari wa 9-10 yameunganishwa na kusemwa taarifa dhabiti kwa usahihi.

aliwauliza wanafunzi wake

"Yesu aliwambia wanafunzi wake"

Kwa kuwa aliponya wengi, ili kwamba

Neno "wengi" umaanisha idadi kubwa ya watu waliokwisha ponywa na Yesu. "Kwa sababu Yesu alikuwa ameponya tayari watu wengi, kila mmoja"

yeyote aliyekuwa na mateso alikuwa na shauku ya kumsogelea ili kwamba amguse.

"wagonjwa wote walimsonga wakiwa na shauku ya kumgusa"