sw_tn/mrk/03/03.md

717 B

katika ya umati

"katika ya umati huu"

Je ni halali kutenda tendo jema siku ya Sabato... au kutenda yasiyo haki?

Yesu alisema changamoto hii. Alitaka wao wakiri kuwa ni halali kumponya mtu siku ya Sabato.

kutenda tenda jema siku ya Sabato au kutenda isivyo haki... kuokoa maisha au kuua.

Haya makundi ya maneno yanafanana katika maana, tofauti ya pili imeenda ndani zaidi.

kuokoa maisha, au kuua

Inaweza kuwa ni msaada kutubu "ni halali," kama lilivyo swali analouliza Yesu tena kwa njia nyingine. "ni halali kuokoa maisha au kuua"

maisha

Hii urejea kwa maisha ya kimwili kama neno mbadala kwa mtu. "mmoja wapo anakufa" au maisha ya mmoja wapo"

Lakini walikuwa kimya

"Lakini walikataa kumjibu"