sw_tn/mrk/03/01.md

697 B

Sentensi unganishi

Yesu amponya mtu siku ya Sabato katika Sinagogi na kuonyesha jinsi anavyojisikia walivyofanya Mafarisayo kuhusiana na sheria za Sabato. Mafarisayo na Maherode wanapanga kumua Yesu.

Baadhi ya watu

"Baadhi ya Mafarisayo." Badae, katika 3:5, hawa watu wanaonyeshwa kama Mafarisayo.

mtu aliye na mkono uliopooza

"mtu aliye na mkono uliopooza"

Baadhi ya watu walimtazama kuona kama atamponya

"Mafarisayo walimtazama Yesu kwa karibu sana kuona kama atamponya na mkono uliopooza"

mshtaki

Mafarisayo walitaka kumshtaki Yesu kwa kuvunja sheria kwa kufanya kazi siku ya Sabato, je amponye mtu. "kumshtaki yeye kwa kufanya kosa" au " kumshtaki yeye kwa kuvunja sheria"