sw_tn/mrk/02/10.md

296 B

Lakini ili kwamba umjue

"Lakini ili kwamba umjue." Neno "wewe" urejea kwa waandishi na kundi.

kwamba Mwana wa Adamu ana mamlaka

Yesu ujirejea yeye mwenyewe kama "Mwana wa Adamu." "Kwamba mimi ni Mwana wa Adamu na nina mamlaka."

mbele ya kila mmoja

"wakati watu walipokuwa wakitazama"