# Lakini ili kwamba umjue "Lakini ili kwamba umjue." Neno "wewe" urejea kwa waandishi na kundi. # kwamba Mwana wa Adamu ana mamlaka Yesu ujirejea yeye mwenyewe kama "Mwana wa Adamu." "Kwamba mimi ni Mwana wa Adamu na nina mamlaka." # mbele ya kila mmoja "wakati watu walipokuwa wakitazama"