forked from WA-Catalog/sw_tn
555 B
555 B
Sentensi unganishi
Baada ya kuhubiri na kuponya watu kote Galilaya, Yesu anarudi Kaperinaumu anako mponywa na kumsamehe dhambi mtu aliye pooza
Ilisikika kwamba alikuwa nyumbani
Hii inaweza kutajwa katika kauli tendaji. watu wa pale walisikia kwamba alikuwa katika nyumba ile ile.
wengi walikusanyika hapo
Hii inaweza kutajwa kama kauli tendaji. "kwa hiyo watu wengi walikusanyika" au "watu wengi walikuja nyumbani"
haikuwepo nafasi ya ziada
Hii inarejea hapakuwa na nafasi ndani ya nyumba. "haikuwepo nafasi tena kwa ajili yao mule ndani"