sw_tn/mrk/01/38.md

369 B

Maelezo ya jumla

Hapa maneno "yeye" na "mimi" urejea kwa Yesu.

Twendeni mahali pengine

"Tunapaswa kwenda mahali pengine." Hapa Yesu anatumia neno "sisi" kurejea kwake, akiwemo Simoni, Andrea, Yakobo, na Yohana.

Alienda akipitia Galilaya yote

Neno "kupitia" linaelezea Yesu alikwenda maeneo mengi wakati wa huduma yake. "Alikwenda maeneo mengi ya Galilaya."