forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
369 B
Markdown
12 lines
369 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Hapa maneno "yeye" na "mimi" urejea kwa Yesu.
|
||
|
|
||
|
# Twendeni mahali pengine
|
||
|
|
||
|
"Tunapaswa kwenda mahali pengine." Hapa Yesu anatumia neno "sisi" kurejea kwake, akiwemo Simoni, Andrea, Yakobo, na Yohana.
|
||
|
|
||
|
# Alienda akipitia Galilaya yote
|
||
|
|
||
|
Neno "kupitia" linaelezea Yesu alikwenda maeneo mengi wakati wa huduma yake. "Alikwenda maeneo mengi ya Galilaya."
|