sw_tn/mrk/01/09.md

731 B

Wewe ni mwanangu mpendwa

Baba, Mwana, na Roho wote wanajidhihirisha pamoja, kwa wakati mmoja.

alibatizwa na Yohana

Hii inaweza kutajwa katika hali tendaji. AT: " Yohana alimbatiza yeye"

Roho anamshukia kama njiwa

Maana zinazoweza kuwa sahihi ni: 1)huu ni mfanano, na Roho alimshukia Yesu kama ndege anavyoshuka toka mbinguni kuelekea ardhi au 2) Roho kiuhalisia alionekana kama njiwa alivyoshuka juu ya Yesu.

sauti ilisikika toka mbinguni

Hii inawakilisha Mungu anazungumza. Wakati mwingine watu hukwepa kurejea moja kwa moja kwa Mungu kwa sababu wana mheshimu yeye. AT: "Mungu alizungumza toka mbinguni."

mwana mpendwa

Ni neno la cheo kwa Yesu. Baba anamwita Yesu "mwana" kwa sababu ya upendo wa milele kwake.