forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
731 B
Markdown
20 lines
731 B
Markdown
|
# Wewe ni mwanangu mpendwa
|
||
|
|
||
|
Baba, Mwana, na Roho wote wanajidhihirisha pamoja, kwa wakati mmoja.
|
||
|
|
||
|
# alibatizwa na Yohana
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kutajwa katika hali tendaji. AT: " Yohana alimbatiza yeye"
|
||
|
|
||
|
# Roho anamshukia kama njiwa
|
||
|
|
||
|
Maana zinazoweza kuwa sahihi ni: 1)huu ni mfanano, na Roho alimshukia Yesu kama ndege anavyoshuka toka mbinguni kuelekea ardhi au 2) Roho kiuhalisia alionekana kama njiwa alivyoshuka juu ya Yesu.
|
||
|
|
||
|
# sauti ilisikika toka mbinguni
|
||
|
|
||
|
Hii inawakilisha Mungu anazungumza. Wakati mwingine watu hukwepa kurejea moja kwa moja kwa Mungu kwa sababu wana mheshimu yeye. AT: "Mungu alizungumza toka mbinguni."
|
||
|
|
||
|
# mwana mpendwa
|
||
|
|
||
|
Ni neno la cheo kwa Yesu. Baba anamwita Yesu "mwana" kwa sababu ya upendo wa milele kwake.
|