forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
524 B
Markdown
16 lines
524 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Sura ya 3 inawalenga wakuu wapotoshaji katika Israeli.
|
|
|
|
# Nimesema
|
|
|
|
Hapa "mimi" inamrejea Mika.
|
|
|
|
# Je! Sio sahihi kwenu kuifahamu haki?
|
|
|
|
Mika anatumia swali kuwakemea wakuu kwa sababu hawakuwa wanawalinda watu au kuwatendea haki.
|
|
|
|
# ninyi manaorarua ngozi yao, miili yao kutoka mifupa yao...kama nyama katika chungu
|
|
|
|
Mika anatumia hii picha mbaya ya bucha kuwakata wanyama kuwa nyama kusisitiza jinsi Mungu alivyo fadahaishwa na wakuu kwa sababu ya jinsi walivyo wakatili kwa wale waliotakiwa kulindwa.
|