sw_tn/mic/03/01.md

524 B

Maelezo ya Jumla:

Sura ya 3 inawalenga wakuu wapotoshaji katika Israeli.

Nimesema

Hapa "mimi" inamrejea Mika.

Je! Sio sahihi kwenu kuifahamu haki?

Mika anatumia swali kuwakemea wakuu kwa sababu hawakuwa wanawalinda watu au kuwatendea haki.

ninyi manaorarua ngozi yao, miili yao kutoka mifupa yao...kama nyama katika chungu

Mika anatumia hii picha mbaya ya bucha kuwakata wanyama kuwa nyama kusisitiza jinsi Mungu alivyo fadahaishwa na wakuu kwa sababu ya jinsi walivyo wakatili kwa wale waliotakiwa kulindwa.