forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
761 B
Markdown
24 lines
761 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Hii inaanza kwa habari ya mwitikio wa viongozi wa dini waliposikia habari ya kufufuka kwa Yesu
|
|
|
|
# Sasa
|
|
|
|
Hili neno linaonesha mwanzo wa habari kuu. Mathayo anaanza kusimuliasehemu ya habari
|
|
|
|
# wale wanawake
|
|
|
|
Inamaanisha Mariamu Magadelena na yula Mariamu mwingine
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
Hii inaonesha mwanzo wa tukio lingine katika habari kuu. Inaweza kujumuisha watu tofauti katika matukio yalitangulia. Lugha yako inaweza kuwa na namna ya kulifanya hilo.
|
|
|
|
# kujadili jambo hilo pamoja nao
|
|
|
|
"walipanga mpango wao wenyewe." Makuhani na wazee waliamua kuwapa zile fedha wale maaskari
|
|
|
|
# Waambieni wengine kuwa, 'wanafunzi wa Yesu walikuja ... wakati tulipokuwa tumelala,'
|
|
|
|
Wambieni wengine kuwa wanafunzi wa Yesu waikuja ... wakati mlipokuwa mmelala"
|