sw_tn/mat/28/03.md

352 B

Sura yake

"Sura ya malaika"

ilikuwa kama ya umeme

"ilikuwa inang'aa kama ya umeme"

mavazi yake yalikuwameupe kama theluji

"mavazi yake yalikuwa meupe sana kama theluji"

na kuwa kama wafu

Huu ni msemo unaomaanisha kuwa wale maaskari walianguka chini na hawakuweza hata kutikisika. "na walianguka chini na kulala pale kama watu waliokufa"