sw_tn/mat/27/54.md

352 B

Basi

Hili neno limetumika kuonesha mwanzo wa habari mpya. Mathayo anaaza kueleza sehemu nyingine ya habari

na wale ambao walikuwa wakimtazama

"na wale maaskari waliokuwa wakimtazama Yesu"

Mwana waMungu

Hiki ni cheo maalumucha Yesu kinachoonesh uhusiano na Mungu

mama wa watoto wa Zebedayo

"Mama wa Yohana na Yakobo" au "mke wa Zebedayo"