# Ndipo ... Yesu auawe
Neno "ndipo" limetumika kumaanisha mwanzo wa habari. Yesu anaeleza kwa nini umati ulimchagua Baraba.
# Yesu auawe
Askari wa Rumi wamuue Yesu"
# aliwauliza
"aliuliza umati"
# anayeitwa Kristo
"ambaye watu baadhi humwita Kristo"