sw_tn/mat/26/59.md

586 B

Sasa

Hili neno linaonesha kuazisha habari mpya kwenye simulizi. Matahyo anaanza kueleza habari mpya ya simulizi

kusudi wapate

kiwakilisi "wa" kinamaanisha wale wakuu wa Makuhani na wale wajumbe wa baraza.

Wawili walitokeza mbele.

"Wanaume wawili walikuja mbele" au "mashahidi wawili walitokeza mbele."

Walisema, "Mtu huyu alisema, 'Ninaweza kuliharibu hekalu la Mungu na kulijenga upya kwa siku tatu.'"

"Walishuhudia kwamba walimsikia Yesu akisema angeweza kuvunja hekalu la Mungu na kulijenga upya kwa muda wa siku tatu."

Mtu huyu alisema.

"Mtu huyu Yesu alisema."