sw_tn/mat/26/51.md

1.0 KiB

Tazama.

Neno "tazama" linatuvuta usikivu kwa ajili ya taarifa ya kugusa inayofuatia.

alichomoa upanga

"aliyechukua upanga ili aue wengine"

wataangamizwa kwa upanga

"watakufa kwa njia ya upanga" au "mtu atawaua kwa upanga"

Mnadhani kuwa siwezi kumwita Baba, na angenitumia zaidi ya majeshi kumi na mawili ya malaika?

"Mlipaswa kujua kwamba ningeweza kumwita Baba yangu, na angenitumia majeshi zaidi ya kumi na mawili ya malaika."

mnadhani

hapa "mna" neno la umoja linlomaanisha yule mtu aliye na upanaga.

Baba yangu.

Hili ni jina mashuhuri la Mungu ambalo hueleza uhusiano kati ya Mungu na Yesu.

Majeshi ya malaika zaidi ya kumi na mawili.

Neno "jeshi" ni neno la kijeshi linalojumuisha wanajeshi 6,000. Yesu anamaanisha kuwa Mungu angeweza kutuma malaika wa kutosha kuwazuia wale waliokuwa wanamkamata. Zaidi ya makundi 12 ya malaika.

lakini bai jinsi gani maandiko yangeweza kutimizwa, hivi ndivyo ilipswa kutoka

"Lakini kama nkifanya hivyo, nisingeweza kutimiza,kile Mungu alichosema kwenye maandiko kitokee"