forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
878 B
Markdown
36 lines
878 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anahitimisha kuwaambia wanafunzi wake jinsi atakavyowahukumu watu atakapokuja mara ya pili
|
|
|
|
# Maelezokwa ujumla
|
|
|
|
Huu ni mwisho wa sehemu ya habari inayoanzaia 23:1, mahali ambapo Yesu anafundisha juu ya wokovu na hukumu ya mwisho.
|
|
|
|
# Wao pia watamjibu.
|
|
|
|
"Hao walioko kushoto pia watamjibu"
|
|
|
|
# Mmoja wa wadogo hawa.
|
|
|
|
"Kwa yeyote kati ya watu wangu walio wadogo."
|
|
|
|
# Hamkunitendea mimi.
|
|
|
|
"Nina jali kuwa hamkufanya kwa aajili yangu" au "Mimi ndiye hasa yule ambaye hamkumsaidia"
|
|
|
|
# Hawa watakwenda katika adhabu ya milele
|
|
|
|
"Mfalme atawapeleka hawa kwenye eneo amablo watapata adhabu ambayo haitakoma"
|
|
|
|
# Wenye haki kwenda katika uzima wa milele.
|
|
|
|
"Watu wenye haki wataenda katika uzima wa milele."
|
|
|
|
# bali wenye haki katika uzima wa milele
|
|
|
|
"lakini mfalme atawapeleka hawa mahali ambapo wataishi milele pamoja na Mungu"
|
|
|
|
# wenye haki
|
|
|
|
"watu wenye haki"
|