sw_tn/mat/25/44.md

878 B

Sentensi unganishi

Yesu anahitimisha kuwaambia wanafunzi wake jinsi atakavyowahukumu watu atakapokuja mara ya pili

Maelezokwa ujumla

Huu ni mwisho wa sehemu ya habari inayoanzaia 23:1, mahali ambapo Yesu anafundisha juu ya wokovu na hukumu ya mwisho.

Wao pia watamjibu.

"Hao walioko kushoto pia watamjibu"

Mmoja wa wadogo hawa.

"Kwa yeyote kati ya watu wangu walio wadogo."

Hamkunitendea mimi.

"Nina jali kuwa hamkufanya kwa aajili yangu" au "Mimi ndiye hasa yule ambaye hamkumsaidia"

Hawa watakwenda katika adhabu ya milele

"Mfalme atawapeleka hawa kwenye eneo amablo watapata adhabu ambayo haitakoma"

Wenye haki kwenda katika uzima wa milele.

"Watu wenye haki wataenda katika uzima wa milele."

bali wenye haki katika uzima wa milele

"lakini mfalme atawapeleka hawa mahali ambapo wataishi milele pamoja na Mungu"

wenye haki

"watu wenye haki"