sw_tn/mat/25/37.md

548 B

wenye haki

watu wenye haki

au kiu ... au uchi

"au ni lini tulipokuwa ukiwa na kiuau nilini tulipokuona u uchi"

Mfalme.

Hiki ni cheo kingine cha Mwana wa Mungu

na kuwaambia

"Akasema na wale walio mkono wa kulia."

Kweli nawaambia

"Nawaambia ukweli, "Huu ni msisitizo wa kile ambacho Yesu alikuja kusema baadaye"

kwa mmoja wa ndugu zangu wadogo

"mmoja wa wasio wa muhimu"

Ndugu zangu

"kaka zangu na dada" au "hawa ambao ni kama kaka zangu na dada zangu

mlinitendea mimi

"Ninajali kwamba mlifanya hivyo kwa ajili yangu."