sw_tn/mat/25/28.md

644 B

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kueleza mfano wa watumishi na talanta

mnyang'anyeni hiyo talanta

Bwana anawaambia wale watumishi wengine

talanta

Tazama 25:14

aliye na

"anayetumia vizuri alicho nacho"

ataongezewa zaidi

"Mungu atampa zaidi"

hata kwa kuzidishiwa

"hata zaidi"

kwa yeyote asiye na kitu

"Kwa yeyeote asiyetumia vizuri hicho alicho nacho.

Ambapo kutakuwa na kilio na kusaga meno

"Mahali ambapo watu watalia na kusaga meno yao."

"nacho atanyang'anywa"

nitakiondoa

mtupeni nje gizani huyo mtumishi asiyefaa, ambako kutakuwa na kilion a kusaga meno

"nje gizani ambako kuna kilio na kusaga meno"