forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
678 B
Markdown
24 lines
678 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anaendelea kueleza mfano wa watumishi na talanta
|
|
|
|
# na baada ya muda
|
|
|
|
Kirai hiki kimetumika kuonesha mwanzo wa habari mpya. Yesu anaanza kueleza sehemu mpya ya simulizi.
|
|
|
|
# Nimepata talanta tano zaidi
|
|
|
|
"Nimepata faida ya talanta tano zaidi."
|
|
|
|
# Talanta
|
|
|
|
Mali yenye thamani kubwa. talanta moja ilikuwa sawa na mishahara ya miaka ishirini.Tazama tafsiri katika. 25:14--15.
|
|
|
|
# Hongera.
|
|
|
|
"Umefanya kazi vizuri." au "Umefanya vema." Katika utamaduni wako pengine mnao usemi ambao mkuu (mtu mwenye mamlaka) angetumia kuthibitisha kile ambacho mtumishi wake (au yeyote chini yake) amekitekeleza.
|
|
|
|
# Ingia katika furaha ya Bwana wako
|
|
|
|
"Njoo ufurahie na mimi"
|