forked from WA-Catalog/sw_tn
503 B
503 B
Sentensi unganishi
Yesu anaongea mfano wa wanawali wenyebusara na wale wanawali wajinga kufundisha kuwa wanafunzi wake wanapaswa kujiandaa kwa ajili y a kurudi kwa Yesu
ufslme wa mbinguni utafananishwa na
Tazama 13:24
Lamps.
Hizi ziliweza kuwa, 1.taa zenyewe au mienge iliyotengenezwa kwa kuwekewa kitambaa kuzunguka mwisho wa mti na hulowanishwa na mafuta.
Watano kati yao.
Watano kati ya wanawali.
Hawakuchukua mafuta yoyote.
"Waliyokuwa nayo ni yale tu yaliyokuwa katika taa zao."