sw_tn/mat/25/01.md

503 B

Sentensi unganishi

Yesu anaongea mfano wa wanawali wenyebusara na wale wanawali wajinga kufundisha kuwa wanafunzi wake wanapaswa kujiandaa kwa ajili y a kurudi kwa Yesu

ufslme wa mbinguni utafananishwa na

Tazama 13:24

Lamps.

Hizi ziliweza kuwa, 1.taa zenyewe au mienge iliyotengenezwa kwa kuwekewa kitambaa kuzunguka mwisho wa mti na hulowanishwa na mafuta.

Watano kati yao.

Watano kati ya wanawali.

Hawakuchukua mafuta yoyote.

"Waliyokuwa nayo ni yale tu yaliyokuwa katika taa zao."