sw_tn/mat/24/36.md

224 B

siku ile na saa

hapa "siku" na "saa" vinamaanisha muda halisi ambao mwana wa Adamu atarudi

Wala Mwana.

"Hakuna hata mwana"

mwana

Hiki ni cheo muhimu cha Yesu, Mwana wa Mungu

Baba

Hiki ni cheo muhimu cha Mungu