sw_tn/mat/24/30.md

426 B

Mwana wa Adamu ... mwo ... wake

Yesu anaongea juu yake katika nafsi ya tatu.

makabila yote

watu wa makabila yote

atawatuma malaika wake kwa sauti kuu ya tarumbeta

"wakati tarumbeta itakapolia atawatuma malaika wake"

Watakusanya.

"Malaika wake watakusanya."

Wateule wake.

Watu ambao Mwana wa Adamu amewachagua.

kutoka pande nne za dunia, kutoka mwisho wa mmoja wa mbingu hadi mwingine

kutoka kila upande