sw_tn/mat/24/26.md

829 B

ikiwa watawambia, 'Kristo yuko jangwani,' msiende huko jangwani. Au 'Tazameni, 'yuko ndani ya nyumba,'

"au, kama mtu atawambia kuwa Kristo yumo ndani ya nyumba"

ndani ya nyumba

"ndani ya chumba cha siri"

kama vile radi inavyomulika ... ndivyo itavyokuwa kuja

Hiiinamaanisha mwana wa mtu atakuja kwa kasi sana na itakuwa rahisi kumwona

Kama vile radi inavyomulika...ndivyo itakavyokuwa kuja.

Atakuja kwa kasi na itakuwa rahisi kuonekana.

mwana wa Adamu

Yesu anaongea juu yake katika nafsi ya tatu

Popote ulipo mzoga, huko ndiko tai wakusanyikapo.

Maana ya karibu ni: (1). Mwana wa Adamu atakapokuja, kila mtu atamuona na kujua kwamba amekuja; (2). Popote walipo watu aliokufa kiroho, manabii wa uongo watakuwepo huko kuwaambia uongo.

tai

Ndege ambao wanakula mizoga au wanyama wanaokaribia kukata roho.