sw_tn/mat/24/03.md

547 B

kitu gani kitakuwa dalili ya kuja kwako na mwisho wa ulimwengu

Neno "kuja kwako" linamaanisha wakati Yesu atakapokuja katika nguvu, kuanzisha utawala wa Mungu duniani na kukifikisha kizazi hiki mwisho wake.

Mwe waangalifu asije mtu akawapotosha.

"Mwe waangalifu kwamba msiamini yeyote ambaye atawaongopea kuhusu mambo haya."

wengi watakuja kwa jina langu

Neno "jina" linamaanisha "katika mamlaka" au " kama mwakilishi" wa mwingine. "Wengi watadai kuwa wamekuja kama wawakilishi wangu" au "wengi watasema kuwa wanaongea kwa niaba yangu"