sw_tn/mat/23/29.md

290 B

ya wenye haki

"ya watu wenye haki"

siku za baba zetu

"wakati wa mababu zetu"

tusingekuwa tumeshiriki pamoja nao

"tusingekuwa tumeshirikiana nao"

kumwaga damu

Damu inamaanisha uhai. kumwaga damu inamaanisha kuua. "kuua" au "mauaji"

watoto wa hao

"watoto inamaanisha uzao"