sw_tn/mat/23/13.md

723 B

Sentensi unganishi

Yesu anaanza kuwakemea viongozi wa dini kwa sababu ya unafiki wao

Lakini ole wenu

tazama 11:20

Mnawaffungia watuufalme wa mbinguni

"Mnawazuia watu kumpokea Mungu wetu wa mbinguni kuwa mfalme wao"

Hamwezi kuingia

"Hamumruhusu Mungu kuwa mfalme wenu"

na hamuwaruhusu wanaoingiakufanya hivyo

"wala hamuwarusu wale wanaotaka kumpokea Mungu kuwa mfalme wao kufanya hivyo"

mnavuka ng'ambo ya bahari

"mnasafiri umbali mrefu"

kumfanya mtu mmoja aamini

"kumfanya mtu mmoja aamini dini yenu"

mwana wa jehanamu

"Mtu ambaye mahali pake ni kuzimu." au mtu ambaye hanabudi kwenda kuzimu."

mnawameza wajane wajane.

"Kuiba kila kitu kutoka kwa wanawake wasio na wanaume wa kuwalinda."