forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
723 B
Markdown
36 lines
723 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anaanza kuwakemea viongozi wa dini kwa sababu ya unafiki wao
|
||
|
|
||
|
# Lakini ole wenu
|
||
|
|
||
|
tazama 11:20
|
||
|
|
||
|
# Mnawaffungia watuufalme wa mbinguni
|
||
|
|
||
|
"Mnawazuia watu kumpokea Mungu wetu wa mbinguni kuwa mfalme wao"
|
||
|
|
||
|
# Hamwezi kuingia
|
||
|
|
||
|
"Hamumruhusu Mungu kuwa mfalme wenu"
|
||
|
|
||
|
# na hamuwaruhusu wanaoingiakufanya hivyo
|
||
|
|
||
|
"wala hamuwarusu wale wanaotaka kumpokea Mungu kuwa mfalme wao kufanya hivyo"
|
||
|
|
||
|
# mnavuka ng'ambo ya bahari
|
||
|
|
||
|
"mnasafiri umbali mrefu"
|
||
|
|
||
|
# kumfanya mtu mmoja aamini
|
||
|
|
||
|
"kumfanya mtu mmoja aamini dini yenu"
|
||
|
|
||
|
# mwana wa jehanamu
|
||
|
|
||
|
"Mtu ambaye mahali pake ni kuzimu." au mtu ambaye hanabudi kwenda kuzimu."
|
||
|
|
||
|
# mnawameza wajane wajane.
|
||
|
|
||
|
"Kuiba kila kitu kutoka kwa wanawake wasio na wanaume wa kuwalinda."
|