# Mnakosea
"Mnakosea juu ya ufufuo"
# Nguvu za Mungu.
"Kile ambacho Mungu anaweza kufanya."
# katika ufufuo
"wakati wafu watapofufuka"
# hawaoi
"watu hawataoa"
# wala kuolewa
"wala watu hawataruhusu watoto wao kuolewa"