sw_tn/mat/22/29.md

228 B

Mnakosea

"Mnakosea juu ya ufufuo"

Nguvu za Mungu.

"Kile ambacho Mungu anaweza kufanya."

katika ufufuo

"wakati wafu watapofufuka"

hawaoi

"watu hawataoa"

wala kuolewa

"wala watu hawataruhusu watoto wao kuolewa"