sw_tn/mat/22/13.md

440 B

Sentensi unganishi

Yesu anahitimisha mfano wa harusi

mfungeni mtu huyu mikono na miguu

"mfungeni kiasi kwamba hawezi kusogeza mikono na miguu"

nje katika giza kuu

Tazama 8:11

kilio na kusaga meno

Tazama 8:11

Kwa kuwa watu wengi wanaitwa lakini wateule ni wachahe

"Kwa kuwa Mungu huwakaribisha watu wengi, lakini huchagua wachache"

kwa

Neno hili linamaaisha mpito. Yesu anamaliza mfano na sasa ataeleza maana ya mfano