sw_tn/mat/22/11.md

229 B

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuelezea mfano

ulipataje kufika hapa ndani bila vazi la harusi?

"haujavaa vazi rasmi kwa ajili ya harusi. haupaswi kuwa hapa"

mtu huyo hakujibu kitu chochote

"yule mtu alikuwa kimya"