sw_tn/mat/22/05.md

12 lines
220 B
Markdown

# Sentensi unganishi
Yesu anaendelea kuelezea mfano
# Hawakuzingatia kwa dhati.
"Lakini wale wageni walioalikwa na mfalme walipuuzia"
# akawaua wale wauaji
Inamaanisha kuwa, askari wa mafalme waliawaua wale wauaji.