sw_tn/mat/22/01.md

16 lines
263 B
Markdown

# Sentensi unganishi
Kuwakemea viongozi wa dini na kuonesha kutokuamini kwao, Yesuanafundisha mfano wa sherehe ya harusi
# nao
"watu"
# Ufalme wa mbinguni unafanana na.
Tazama 13:24
# Wale wote waliokuwa wamealikwa.
"Watu ambao mfalme alikuwa amewaalika."